Featured
Loading...

Kuna watu ndani ya CCM hapendi juhudi za Mh Magufuli.........


Watu hao wanamshahuri Mh Rais Magufuli vibaya hasa katika kipindi cha mgogoro wa Zanzibar walimshauri asiingilie mgogoro huo huku wakijua kuwa wahisani watajitoa hili waone serikali anayoiongoza inamaana nahii awaliifanya makusudi kabisa wakijua itakuwa hivyo!
Wao hapo wanafurahia moyoni kuona serikali inayumbishwa na wahisani.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top