Pale ambapo dada mtu amesumbuliwa kwa mwaka mmoja na figo alafu kaka mtu akajitolea figo yake moja ili amuokoe Dada yake.
Baada ya kumshukuru
Mungu kwa kufanikisha hili, ziko pande mbili za kupongeza hapa ambapo ya
kwanza ni Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambayo imvunja rekodi na kwa
mara ya kwanza imefanikiwa kufanya upasuaji na kumuwekea Binadamu Figo.
Hii ni rekodi ya
nguvu kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa sababu licha ya kuweka
historia lakini pia itasaidia kuokoa mamilioni ya Watanzania waliokua
wakisafiri kwenda nje ya nchi kutibiwa Ini na kutumia sio chini ya
Milioni 80……… tazama hii video hapa chini kujionea mwanzo mwisho==>>>video
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )