Featured
Loading...

DIAMOND ASAKWA MAZISHI YA BABA WA BABU TALE



BABA mzazi wa Meneja wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amezikwa juzi Jumanne kijijini kwao Mkuyuni, mjini Morogoro lakini miongoni mwa mambo ya kushangaza ni kitendo cha baadhi ya waombolezaji kumsaka mwanamuziki Nasibu bila mafanikio.


Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top