BABA
mzazi wa Meneja wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amezikwa juzi
Jumanne kijijini kwao Mkuyuni, mjini Morogoro lakini miongoni mwa mambo
ya kushangaza ni kitendo cha baadhi ya waombolezaji kumsaka mwanamuziki
Nasibu bila mafanikio.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )