Featured
Loading...

Michirizi Inayoonekana Kwenye Miili ya Akina Dada Inaashiria Nini?


Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya utamu wao kama Mwana FA alivyoimba  "Michirizi ya utamu nyuma ya goti mimi hoi na moyo hai sio toi "  au ugonjwa wa ngozi?

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top