Featured
Loading...

KAJALA AFUNGUKA KUHUSU TETESI ZA KUTAKIWA KURUDISHA MILIONI 13 ZA WEMA

 Wengi wanaomfahamu mwigizaji Kajala wanajua kwamba staa huyu aliwahi kuwa kwenye mikono ya sheria mpaka Jela na alilipiwa shilingi Milioni 13 kama dhamana March 25 2013 ili aponee kwenda jela, pesa ambazo zilitolewa na mwigizaji Wema Sepetu ambaye alikua rafiki yake mkubwa.
Kipya kwenye headlines ni kuhusu Kajala kutakiwa kuzirudisha zile milioni 13 na hii ni baada ya kuonekana kwenye White Party ya Diamond na Zari.
Ili kupata ukweli Millard Ayo ameongea na Kajala anaenza kwa kusema >>>> ‘Sio kudaiwa kabisa sababu nilivyokwenda tu kwenye White Party ndio watu wakaanza kuandika kwenye comments kwamba walinilipia milioni 13 alafu nimeenda White Party, alienilipia hizi milioni 13 hajawahi kunidai’

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top