Featured
Loading...

BARCELONA BINGWA KLABU BINGWA ULAYA

 Timu ya soka ya Barcelona leo imefanikiwa kubeba Ubingwa klabu bingwa ulaya (UEFA) kwa mara ya tano baada ya kuicharaza Juventus ya Italia jumla ya magoli matatu kwa moja katika fainali iliyochezwa usiku huu mjini Berlin Ujerumani
Wachezaji wa Barcelona wakishangilia baada ya kubeba kombe hilo kwa kuifunga Juventus 3 kwa 1
Magoli ya Barcelona yamefungwa na Ivan Rakitic, Luis Suarez na Neymar huku Juventus ikipatia goli la kufutia machozi kupitia kwa Alvaro Morata
Wachezaji wa Barcelona wakisubiri kukabidhiwa kombe
Neymar akilibusu kombe hilo
Wachezaji wa Barcelona wakiwa katika furaha ya aina yake sambamba na kombe
Washambuliaji wa barcelona kuanzia kushoto Suarez,Messi na Neymar wakiwa wamelishika kombe muda mfupi baada ya kutawazwa mabingwa
Lionel Messi akiwa amebeba kombe hilo
Hapa Gerard Pique akizitoa nyavu golini ili azivae kama ishara ya kusherekea ubingwa huo
Beki Gerard Pique akiwa amezivaa nyavu ni baada ya timu yake kubeba ubingwa wa Uefa
Unaweza kujiunga nasi kupitia ukurasa wetu wa facebook kwa kulike hapa

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top