Featured
Loading...

updates:Halima Mdee na Said Kubenea Wanashikiliwa na Polisi


Wabunge wa Chadema, Halima Mdee na Said Kubenea wanashikiliwa na  jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam wakidaiwa kumfanyia vurugu Katibu Tawala wa Dar, Theresia Mmbando juzi baada kutangaza kuahirisha uchaguzi wa meya na naibu meya katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar .

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top