Featured
Loading...

Imenifikia list ya nchi 10 zinazotajwa Uchumi wake unakuwa kwa haraka zaidi dunia, Tanzania ikiwemo

 
Ripoti ya World Economic Outlook ‘WEO’ ambayo inatoa makadirio ya maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya kimataifa, ripoti hiyo hutolewa April na September/October kila mwaka ambapo hutumia database kupata taarifa za akaunti za taifa, mfumuko wa bei, viwango vya ukosefu wa ajira, bei za bidhaa n.k.
Katika ripoti yake ya April 2016 imeitaja nchi ya Myanmar kuwa ndio nchi inayoongoza kwa ukuaji wa kiuchumi kwa haraka zaidi kwa pato linalokadiriwa kukua kwa 8.6% kwa mwaka.
Ivory Coast imekuwa nchi ya pili na makadirio ya ukuaji wa pato la Taifa la 8.5% mwaka huu. Nchi zingine zilizotabiriwa kurudi takwimu ya juu ya ukuaji ni pamoja na India, Laos na Tanzania.
economic
 

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top