Featured
Loading...

AJALI: Basi la UDA Laigonga Treni Eneo la Gerezani - Kariakoo, Dar


Ajali mbaya sana imetokea jana Kariakoo Gerezani, watu sita wamepoteza maisha papo hapo akiwemo konda wa kampuni ya Uda dereva kakimbia baada ya basi hilo kugongana na Treni...Mungu awalaze mahali pema wote waliopoteza maisha

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top