Featured
Loading...

Koffi Olomide akamatwa DR Congo na Kuhukumiwa Kifungo


KINSHASA, CONGO: Mahakama imemhukumu Mwanamuziki Koffi Olomide, miezi 18 jela kwa kumpiga mnenguaji wake wa kike wiki iliyopita.
Hukumu yake hiyo haina adhabu mbadala ya kulipa faini kwa hiyo kutumikia hiyo miezi 18 jela

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top