Featured
Loading...

Lowassa Atofautiana na Chadema, Ampa Sifa Rais Magufuli...


Lowassa 
KWA mara ya kwanza,mara baada ya uchaguzi mkuu kuisha mwaka jana ,Aliyekuwa Mgombea Urais wa CHADEMA,Edward Lowassa leo hii amefunguka na kukiri juu ya uwezo wa JPM katika kutenda kazi.

Lowassa ambaye leo asubuhi alikuwa katika mahojiano katika chombo kimoja cha Luninga,alisikika akimsifia Dr Magufuli huku akidai kuwa kama angelikuwa ni yeye ndio Rais angefanya zaidi ya JPM.

Hii inakuwa ni sawa na kwenda kinyume na Chama chake ambapo mara kadhaa wamekuwa wakiuponda utawala wa Rais Magufuli huku wengine wakimuita dikteta

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top