‘Sisi tuna mkataba na uongozi wakina Babu Tale yaani Tip Top Connection wao kuna vitu wanafanya kwasasa maandalizi yao, kwahiyo kuna vitu vinapikwa kutoka kwa wasanii hao watano unajua watu wanahisi msanii akitoka Bongo Star Search anajulikana siku hiyo hiyo hapana kuna watu wanachukua miaka mitano au miaka mikumi ndio wanakuja kujulikana’- Madam Rita
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )