Featured
Loading...

Magufuli: Walioanza Kulalamika Hakuna Pesa Mifukoni ni Wale Waliozoea Kupata Pesa za Burebure


Haya ni maneno ya mh Magufuli akiwaasa watanzania wafanye kazi kwa badii ili kuweza kujipatia kipato.

Maneno haya ameyatoa alipohudhururia mualiko maalumu kutoka kwa muft mkuu wa dini ya kiislam Tanzania kwenye baraza la la sikuku ya Eid.

Hizi ni salamu kwa wale wote wanaolalamika kwamba

Magufuli: Tusipofanya kazi hatutapata pesa, ndio maana waliokuwa wanapata za kiujanjajanja wanahaha, tushirikiane kuijenga nchi yetu

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top