Taarifa za mauaji wilaya kiteto Mkoa
Manyara binti knobs ajulikanae kwa jina la Eva aliyekuwa akifanya kazi
Pccb (Takukuru) ameuawa na mtu asiyefahamika nyumbani kwake na
Kulawitiwa na kisha Kuuwawa. upelelezi bado unaendelea na Mshukiwa mmoja
mikononi mwa polisi kwa upelelezi zaidi. M/mungu ailaze roho ya
marehemu peponi Amin...
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )