Marehemu Joseph Senga ndiye mpiga picha aliyenasa tukio la mauaji ya Mwandishi wa habari wa kituo cha talevisheni CHANEL 10 Daud Mwangosi kilichotokea September 2 2012 katika kijiji cha Nyololo, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambaye alifariki July 28 2016 akiwa India kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo.
Ninazo picha kadhaa kutokea Sinza Dar es salaam ambapo ndipo kazi yote ilifanyika
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye
Kutoka kushoto Edward lowassa, Nape Nnauye na Freeman Mbowe
Mke wa marehemu Joseph Senga (aliyevaa ushungi)
Wapigapicha na wanachama wa Press Photographer wakishiriki kubeba jeneza la marehemu
ULIIKOSA HII YA ONYO LA RAIS MAGUFULI KWA WANAOANZISHA MAANDAMANO
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )