Featured
Loading...

Isabela ala bata Uganda na Ex wa Aunt Ezekiel, Jack Pemba


Aliyekuwa mpenzi wa msanii wa filamu Aunty Ezekiel, Jack Pemba ameonekana akila bata nchini Uganda na aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Luteni Karama, Isabela Mpanda.

Muimbaji huyo wa Kundi la Scorpion Girl pamoja na wenzake wapo nchini Uganda kwa ajili ya tuzo za Uganda Entertainment Award ambazo zinafanyika weekend hii.
AuntJack
Jack Pemba akiwa na mpenzi wake wa zamani Aunt Ezekiel

Mfanyabishara huyo maarufu ameithitishia Bongo5 kutoka na mrembo huyo.

“Wiki ijayo nakuja Dar es salaam, sasa hivi nipo na baby wangu, huyu ndio kila kitu kwangu,” alisema Jack Pemba.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top