Kocha wa Manchester United Jose Mourinho alipo kuwa akiongea na
waandishi amesema kuwa hafiriki na ni vigumu sana Bastian kupata nafasi
ya kucheza msimu huu, sijasema haiwezekani , nimesema ni vigumu sana.
Kama tatizo lolote litatokea au nafasi , nina vijana katika Academy, nitafurahi kuwapa nafasi ya wao kuendelea.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )