Featured
Loading...

Magufuli: Ni Muujiza Kushikana Mkono na Lowassa



Rais Magufuli amesema anashukuru hafla ya Jubilei ya Miaka 50 ya ndoa ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa kuleta muujiza wa kukutana na kupeana mkono na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa

Kauli hiyo aliitoa jana katika hotuba yake Baada ya kumalizika kwa misa takatifu ya maadhimisho ya Juibilei hiyo iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu Petro  Oysterbay, Dar es Salaam
==>Msikilize hapo chini akiongea
 

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top