Featured
Loading...

Moshi Mweupe Waanza Kuonekana CUF, Haya Hapa Majina Matatu Yaliyopitishwa Nafasi ya Uenyekiti


Baraza Kuu la CUF limepitisha majina 3 yatakayopigiwa kura kujaza nafasi ya Uenyekiti, iliyoachwa wazi na Prof. Lipumba mwaka jana.

Majina hayo ni Twaha Taslima, Riziki Shahari Mngwali na Juma Nkumbi.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top