Featured
Loading...

Ngoma Amfunga Mdomo Julio, Yanga Yailaza Mwadui


Mchezo umemalizika  kwenye Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga, wageni Yanga wamepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC, yote yamefungwa na Donald Ngoma.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top