Mwezi uliopita baada ya Mama mzazi huyo kutopost picha ya Zari kwenye BirthDay yake na kuja kupost picha ya Wema Sepetu akimtakia Birth Day njema.
Kwenye The Playlist ya Times FM, Diamond aliulizwa swali hilo ambapo alifunguka kwa kusema kuwa inabidi ifike mahala kuwa wawape watu kitu cha kuzungumza kwakuwa kibongo bongo familia yao inatizamwa kama ya kina Kardashian.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )