Featured
Loading...

Je, Trump Ataweza Kuwatuliza Wamarekani? Hali Yaendelea Kuwa Mbaya Mitaani

 

Ikiwa ni muda mchache baada ya Rais Trump kuapishwa kuwa Rais wa 45 wa Marekani, bado wanaompiga wanaendelea na maandamano dhidi yake.

Je, Trump ataweza kuwatuliza na kuwaunganisha wamarekani kabla hali haijawa mbaya zaidi?

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top