VIDEO;DKT. SHIKA ALIPWA MAMILIONI ALAMBA SHAVU SOKA BET
Dk Shika, ambaye alishikiliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano
akituhumiwa kuvuruga mnada wa nyumba hizo za mfanyabiashara wa jijini
Dar es Salaam, Said Lugumi leo ameibukia na kufanya tangazo la Kampuni
ya Michezo ya Kubahatisha ya Sokabet ( www.sokabet.co.tz)baada
ya kulipa kiwango cha dola 100 za Kimarekani jana (sawa na shilingi
220,000), kama bima ili aweze kutumiwa mabilioni yake kwa ajili ya
kulipia nyumba hizo.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )