Sijamsikia
kwa kipindi kirefu kidogo na sio kawaida yake, na hata zile safari za
ujenzi wa chama zilizoandaliwa hivi majuzi sizisikii tena kama
wamekwenda au lah, mwenye taarifa atupatie maana alisaidia sana
"kukijenga chama" huko mikoani kiasi kwamba kura za Chama "ziliongezeka"
kwa kiasi kikubwa..Je Magufuli Kamsahau ama Vipi
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
