Timu
ya taifa ya chad imejitoa katika mashindano ya kugombania nafasi ya
kucheza fainali ya michuano ya mataifa ya Africa itakayo pigwa Gabon
Chad
imeshindwa kufika Jjini Dar es salaam kwa kile walicho eleza kuwa nchi
yao imeyumba kiuchumi kutokana na mtikisiko wa uchumi duniani kuikumba
nchi hiyo
Hivyo
mchezo wake na Taifa Stars uliopangwa kufanyika kesho hautokuwepo na
kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, huenda Taifa Stars itapewa mogoli 2
na alama tatu hivyo kufikisha alama 7 kujitoa kwa chadi kuna liweka
kundi G liwe gumu sana
“Timu
yetu haiwezi kusafiru hadi Dar es salaam kwa mechi ya tarehe 28, nchi
yetu imeathirika na mgogoro wa uchumi duniani,hivyo ushiriki wetu kwenye
mashindano mbali mbali umepata pigo kubwa kutokana na ukosefu wa fedha,
tunaomba radhi kwa usumbufu”
Taarifa ya chama cha soka nchini Chad imeeleza. Taarifa hii imeripotiwa na mtandao wa Supersports.com mapema leo
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )