Featured
Loading...

LOWASSA na MBOWE Waongoza Mafuriko ya Kumtambulisha Katibu Mkuu Mpya wa CHADEMA Jijini Mwanza


Picha za awali za tambulisho wa Katibu mkuu wa CHADEMA Ndg Dr Vincent Mashinji uliofanyika leo jijini Mwanza mara baada ya hapo jana kuchaguliwa rasmi kuibba mikoba ya ukatibu mkuu wa CHADEMA iliyoachwa na aliyekuwa katibu mkuu DR SLAA.

Picha kamili za tukio hili zitakujia..





Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top