Featured
Loading...

Nchi Jirani ya Kenya Yashika Nafasi ya Tatu kwa Ufisadi Duniani

Shirikisha la Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Kenya wameelezea hofu ya taifa kujikuta katika mapinduzi kutokana na ufisadi uliokithiri, huku walala hoi wakiendelea kutaabika ndani ya nchi yao.

Ripoti mpya ya viwango vya ufisadi inaonesha Kenya ikishikila nafasi ya tatu kote ulimwenguni, licha ya serikalib kuweka mikakati ya kukabililiana na viotendo vya rushwa na ufisadi.

Utafiti huo wa shirika la Pricehouse-Water-Coopers unaonesha Kenya ikiwa nafasi ya tatu nyuma ya Ufaransa na Afrika Kusini. Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Kenya wameelezea hofu ya taifa kujikuta katika mapinduzi kutokana na ufisadi uliokithiri, huku walala hoi wakiendelea kutaabika ndani ya nchi yao.

Katika mahojiano na sauti ya Amerika Maur Abdalla Bwanamaka, mwenyekiti wa chama cha Uzalendo nchini Kenya, ameutaja utumiaji mbaya wa mamlaka kama unaochangia kwa kiasi kikubwa hali ilivyo

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top