Featured
Loading...

Utafiti: Tanzania Yabainika Kuwa Nchi ya Kwanza Isiyo Aminifu Duniani.....

Utafiti huo umebainisha kuwa uaminifu binafsi huwa mkubwa kwenye jamii zenye matatizo machache ya rushwa, ukwepaji kodi na utapeli wa kisiasa.

Wakati ambapo Austria, Uholanzi na Uingereza zimeshika nafasi ya kwanza katika nchi aminifu duniani, Tanzania na Morocco ambazo ubora wa taasisi zake ulibainika kuwa wa chini, zilifanya vibaya.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top