Featured
Loading...

WAZIRI Mkuu Majaliwa Afurahishwa na Ushindi wa Lulu Michael na Richie Tuzo za Filamu...Akutana nao Kuwapongeza


 
Party bado inaendelea. Washindi wa tuzo za AMVCA, Elizabeth ‘Lulu’ Michael na Single ‘Richie’ Mtambalike wamekutana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Ijumaa hii jijini Dar es Salaam.
Wawili hao walishinda tuzo hizo Jumamosi iliyopita jijini Lagos Nigeria. Lulu alishinda kipengele cha filamu bora ya Afrika Mashariki huku Richie akishinda tuzo ya filamu bora ya Kiswahili.

Lulu ameshare picha Instagram na kuandika: Mapema Leo Na Waziri Mkuu Mh Kassim Majaliwa..! ”

Hii imekuwa ni wiki ya sherehe kwa washindi hao.




Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top