Featured
Loading...

Afisa Mkuu wa Jeshi la Burundi Ameuawa Pamoja na Mkewe Baada ya Kushambuliwa na watu wasiojulika......

 

Afisa mkuu wa jeshi la Burundi ameuawa pamoja na mkewe baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana mjini Bujumbura.

Jenerali Athanase Kararuza na mkewe wameuawa wakiwapeleka watoto wao shuleni

Jenerali huyo ndiye afisa wa juu zaidi wa jeshi kuuawa katika mji huo mkuu wa Burundi tangu kufanyika kwa jaribio la kupindua serikali ya Rais Pierre Nkurunziza mwaka jana.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top