Featured
Loading...

Mwanamuziki Snura Awaomba Radhi Watanzania Kwa Video ya Chura

 

Baada ya kufungiwa na Serikali jana, msanii Snura awaomba radhi Watanzania kwa video isiyo na maadili, ajisajili upya BASATA.

Amesema hatotoa tena video yenye maudhui ambayo sio ya kitanzania na tayari ameruhusiwa kufanya show katika majukwaa mbalimbali

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top