Featured
Loading...

Tanzia: Mchekeshaji Maarufu Bongo Afariki Dunia..

 

Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwako Mbeya. Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitishia Saluti5 kuwa msanii huyo wa filamu  ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
R.I.P KINYAMBE

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top