![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhXTLiovlQBQRkkI5HV8jGc2nWxcBnlPzhAHy5fiN9nKqIejXdS404-hOLOEQtFAeZuWdbv4y7ANEGgMnmJ-9tbZv9sO3dV7A_KiwHZP4A2D9c3COaNKTub1kBoSxm7Pqv8qysQYwIqUvg/s1600/jike+shupa.jpg) |
Jike Shupa na Shilole |
Zuu amejipatia umaarufu mkubwa baada ya kuonekana kwenye video ya Nuh
Mziwanda, Jike Shupa. Kilichomfanya ajulikane zaidi ni jinsi
alivyofanana na Shilole. Lakini kwa sasa amedai kuwa kuna vita vikubwa
kati yake na Shishi. Mtazame hapa akielezea.