“Kitendo hicho kinachosemwa sio cha kweli, wachezaji walikuwa kwenye mazoezi wakachezeana rafu kwa bahati mbaya, lakini Tambwe aliumia kidogo lakini habari kuwa waligombana sio kweli, Tambwe na Ngoma ifahamike kuwa hawagombanii namba, wote wapo kikosi cha kwanza”
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )