Mwenyekiti mpya wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli amemteua ndugu
Abdulrahman Kinana kuendelea na nafasi yake ya Katibu Mkuu wa chama
hicho, licha ya Kinana kuomba kujiuzulu nafasi hiyo
Nini maoni yako kuhusu uamuzi huo?
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )