Featured
Loading...

Magufuli Amteua Kinana Kuwa Katibu Mkuu CCM Licha ya Kuomba Kujiuzulu



Mwenyekiti mpya wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli amemteua ndugu Abdulrahman Kinana kuendelea na nafasi yake ya Katibu Mkuu wa chama hicho, licha ya Kinana kuomba kujiuzulu nafasi hiyo

Nini maoni yako kuhusu uamuzi huo?

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top