Marehem alipo pigwa akaenda Hostitali na baada ya hapo aliambiwa arudi kazini huku hali yake ikiwa mbaya na ndipo alipodondoka na kuzimia ndipo wakafanya jitihada ya kumpeleka hospital ya Mkoa na kufariki Dunia, tukio hili limetokea katika Mgodi wa Nyamahuna uliopo Katoro Mkoa wa Geita. Mgodi huu unachimba Dhahabu na Shaba.
Mashuhuda wanasema kuwa Mr Swii pamoja na walinzi wa Mgodi huo ndio waliohusika katika kuwapiga Wafanyakazi hao nakupelekea mfanya kazi mmoja kufariki Dunia kwa Kipigo hicho.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )