Featured
Loading...

Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Atumbuliwa Kwa Tuhuma za Malipo Hewa



Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Rwegasira amemsimamisha kazi Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kufanya malipo hewa.

Mhasibu Mkuu huyo Frank Msaki amesimamishwa kazi kwa kufanya malipo ya kiasi cha sh. 305,820,000 kama posho ya chakula kwa watu ambao sio Askari Polisi.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top