Featured
Loading...

Wakurugenzi 3 Waliotumbuliwa MSD Warudishwa Kazini



Bodi ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD), yaamua kuwarudisha kazini Wakurugenzi 3 kati ya 4 waliosimamishwa kazi Februari 15.

Walikutwa hawana hatia kutoka kwenye tuhuma mbalimbali zilizokuwa zinawakabili

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top