Lile timbwili la madale bado linaendelea kuwaka moto , hivi karibuni 
mzazi mwenzie na Diamond, Zari Hassan amepost picha akiwa na mama yake 
mzazi huku akimwagia sifa kemkem kuwa Mama yake huyo ana tabia nzuri 
,ana hekima na kumfananisha na queen ,kitendo hicho kimetafsiriwa na 
wapenda ubuyu mjini kuwa zari alimrushia dongo mama wa mzazi mwenzie 
Diamond ambaye amekua na sifa ya kuwa mkorofi,mshari na asiyependa amani
 na mkwe wake huyo mtarajiwa
Ameandika hivi:
Zarithebosslady
She was born and raised like a Queen, acts like a Queen, behaves like a 
Queen, slays like a Queen, moves gracefully like a Queen. Even If she 
knows she ain't a Royal deep down she is one. Slay Queen, Mama Africa 
Mrs Halima Hassan
 
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )