Msanii wa Hip Hop na Mbunge wa Mikumi, Professor Jay amesema kutokujua
Kiingereza siyo dhambi. "Hii sijui kiingereza, Kiingereza ni Kushoboka
tu. Viongozi wengi mbona tunaona wanakuja hapa Tanzania hawajui
Kiingereza."
Kwa upande wako unadhani kuna umuhimu wowote wa kukijua kiingereza?
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )