“Wakati naandika wimbo “Pale Kati” nilikua nimeangalia nyimbo zilizowahi
kutoka nyuma na zilizoko sokoni sasa, sikuona kama mistari yake ina
matatizo. Lakini baada ya kukaa pamoja na kusikiliza mstari kwa mstari
tumegundua kwamba kuna baadhi ya mistari ilikua ina maneno makali. Hivyo
basi naomba radhi kwa mtu yeyote aliyeumizwa na mistari hiyo." - Nay wa
Mitego
Tupia neno kwake
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )