Featured
Loading...

Mkuu wa Mkoa Paul Makonda Aibiwa Simu


Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu haionekani.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top