Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya
kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini
na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu
haionekani.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )