Featured
Loading...

Mrema Aanza Kazi Aliyopewa na Magufuli..Ataka Boda Boda Wampe Majina ya Polisi Wanaolazimisha Rushwa


Mwenyekiti wa bodi ya Parole nchini, Agustino Lyatonga Mrema, amewataka madereva wa Bodaboda wasijihusishe na maandamano ya kisiasa.

Pia amewaagiza waendesha bodoboda Kinondoni wampe majina ya polisi wanaowalazimisha kutoa rushwa, atayakabidhi kwa Rais Magufuli

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright 2025 MZALENDO HURU | Designed By Code Nirvana
Back To Top