Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema watu wote wanaofurahia
tukio la kuuawa Polisi wanne jana watafikishwa kwenye vyombo vya sheria
kujieleza
Kufuatia kuuawa Askari Polisi wanne jana baadhi ya watu hasa mitandaoni walionyesha kufurahia jambo hilo
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )