Featured
Loading...

Ningelikuwa Magufuli Ningeruhusu Chadema Waandamane Kwa Amani Kuepuka Doa Kwa Serikali


Ningelikuwa Magufuli ningeliwaruhusu ‪#Chadema‬ wafanye maandamano na mikutano yao ambayo yako kisheria kwa mujibu wa katiba na sheria ya vyama vya siasa.

Kisiasa Chadema wameshinda, wana ajenda ambayo ina legitimacy ndani na nje ya nchi. Ajenda ni kuilinda na kuihifadhi Katiba. It is clear and simple to grasp kuwa MagufuliJP has somewhat thrown the law out of the window kwa kukataza mikutano na maandamano ambayo sheria ya vyama vya siasa imetaja kuwa ni halali. Kama Chadema watafanya walivyopania, any crackdown on them ni doa kubwa kwa Serikali ya Magufuli and a looser in the run ni ‪ CCM‬ kwa sababu Magufuli ni Mwenyekiti wa CCM

Ni wakati sasa CCM na Chadema warudi kwenye meza ya mazungumzo ‪Nchi‬ kwanza. Kwa nini CCM na Chadema ? @MagufuliJP ni Mwenyekiti wa CCM na makatazo haya yote yanainufaisha CCM si Serikali ambao kuilinda katiba ni jukumu lao.


Imeandikwa na Thomas David Maqway

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top