Featured
Loading...

Ukweli Kuhusu Degree ya Miss Tanzania Mpya


Katika pita pita zangu mitandaoni nimekutana na hii Video ya Miss Tanzania. Kipindi ambapo anatafutwa miss kinondoni. Ni kweli alisema ana miaka 18 lakin hakusema kuwa ana degree. Zaid alichosema ni kuwa yeye ni Applicant wa IFM. Sasa sijajua hiz rumors zinatoka wapi. Please cheki hii video kuanzia dk ya 8.

Miss kinondoni 2016.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top