![Rose Ndauka Awapa Makavu Wanawake Wanaotoa Mimba](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj16bbCqq3Ew2DdVfd8w2J84nfpiDqwYPs8egHfyUtgdcmIsxqAl0bseMSM3EY9w9LOU7lZ9xAA-mGNZirz19Y40PkQoWRXrYyJjLtNYlY6h42v-6r5EN38aNheroYVwxH6eQ8QDb_Verk/s640/x1nrF171.jpg)
MSANII wa Filamu Bongo, Rose Ndauka
amewarushia dongo wasichana wa kizazi kipya ambao wengi wao wakipata
mimba wanakimbilia kutoa badala ya kujifungua.
Ndauka ameiambia Full Shangwe, kuwa wanawake wengi wakipata ujauzito hutoa bila kujua kuwa mtoto ni faraja ya mwanamke na uhusiano kwa ujumla. “Nawashangaa wasichana wengi ambao wakipata mimba wanakimbilia kutoa.
I wish kama wangejua furaha, faraja na thamani ya mwanamke ni mtoto, wasingefanya hivyo,” alisema. Aliongeza: “Huwezi amini furaha ya kuwa na mtoto kwa mzazi ni zaidi ya changamoto.”
Ndauka ameiambia Full Shangwe, kuwa wanawake wengi wakipata ujauzito hutoa bila kujua kuwa mtoto ni faraja ya mwanamke na uhusiano kwa ujumla. “Nawashangaa wasichana wengi ambao wakipata mimba wanakimbilia kutoa.
I wish kama wangejua furaha, faraja na thamani ya mwanamke ni mtoto, wasingefanya hivyo,” alisema. Aliongeza: “Huwezi amini furaha ya kuwa na mtoto kwa mzazi ni zaidi ya changamoto.”
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )