Featured
Loading...

Serikali Yatoa Majibu Bungeni Kuhusu Kujenga Uwanja wa Ndege Chato

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema kuwa uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita unaojengwa wilayani Chato utakapokamilika utatumika kusafirisha madini, watu na vifaa.
==>Msikilize hapo chini akitoa majibu bungeni

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top