Featured
Loading...

FAIDA NYINGINE ZA MTI MVUNGE MBALI NA KUREFUSHA, KUNENEPESHA UUME NA KUONGEZA UKUBWA WA MAKALIO.


FAIDA    NYINGINE  ZA  MTI  MVUNGE  MBALI  NA  KUREFUSHA, KUNENEPESHA  UUME NA  KUONGEZA  UKUBWA  WA  MAKALIO.
 
 
Watu  wengi  wanaufahamu  mti  wa  mvunge  kama  mti  unaotumika  katika  tiba  ya  kurefusha  na  kunenepesha  maumbile  ya  kiume  pamoja  na kuongeza  ukubwa  wa  makalio  kwa  wanawake.
Hii  ni  kwa  sababu, mti  wa  mvunge  umekuwa  ukitumika  katika  tiba  ya  kurefusha  na  kunenepesha  maumbile  ya  kiume  pamoja  na  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  tangu  enzi   za  mabibi  na  mababu.
Vile  vile, mti wa  mvunge  tayari umethibitishwa  kitaalamu  kuwa  na  uwezo  wa  kitabibu  katika  kurefusha  na  kunenepesha   maumbile  ya  kiume  pamoja  na  kuongeza  ukubwa  wa  makalio.
Taarifa  ya  kuthibitishwa  kwa  mti  wa mvunge, imeripotiwa  katika  gazeti  la  Mwananchi  la  tarehe  26, Januari  2013.
KUSOMA  TAARIFA  HIYO  TEMBELEA   
Hata  hivyo, mbali  na  kuwa na  uwezo wa  kurefusha  na  kunenepesha maumbile  ya  kiume  pamoja na kunenepesha makalio, mmea  wa  Mvunge unazo faida  nyingine  lukuki  kwa afya  ya  mwanadamu.
Baadhi  ya  faida hizo  ni kama  ifuatavyo ;
FAIDA   NYINGINEZO   ZA   KITABIBU ZA   MTI  WA  MVUNGE
1.    Mti  wa  mvunge  una  uwezo wa  kutibu majeraha ya vidonda
2.   Mti wa  mvunge  hutibu  vidonda  visivyo pona ‘ Vidonda  Ndugu ‘
3.   Mti  wa  mvunge  hutumika  kutibu  vidonda  vya  tumbo
4.   Majani  ya  mti  wa  mvunge  hutumika  kutibu  magonjwa mbalimbali ya  zinaa  kama  vile  kaswende  na  kisonono.
5.   Unga  wa  tunda  la  mvunge hutumika  katika  tiba  dhidi ya magonjwa  mbalimbali  ya  ngozi.
6.   Unga wa  tunda  la  mvunge  hutumika  kutibu chunusi za  usoni  na  mwilini
7.   Mti wa  mvunge  hutumika katika  kutibu bacteria  na  maambukizi  ya  bacteria
8.   Mti  wa  mvunge  hutumika kuongeza  ukubwa wa  matiti na kuyasimamisha
9.   Mti  wa  mvunge  unatumika  kutibu  ukurutu
10.   Mti  wa  mvunge  ni  tiba  nzuri  sana  dhidi ya majipu au  upele  wenye  kutoa  usaha.
11.  Mti  wa  mvunge  unatumika  kutibu maumivu ya  chini  ya  mgongo
12.   Mti  wa  mvunge  hutibu  maradhi  ya  maumivu  kwenye  magoti
13.  Mti wa  mvunge  ni  tiba  nzuri  sana  ya  tatizo la  baridi yabisi.
14.  Mti  wa mvunge  unasaidia  kutibu  maumivu ya  tumbo
15.  Mti  wa  mvunge  husaidia kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo la maumivu  ya  kwenye  meno.
16.  Mti  wa  mvunge  hutumika  katika  tiba  dhidi ya  Homa  ya  mapafu
17.  Mti  wa  mvunge  husaidia  kutibu  tatizo  la  kukosa  choo
18.  Mti  wa  mvunge  husaidia kuupa  mwili  nguvu na  joto
19.  Mti  wa  Mvunge  hutumika  kutibu  bawaziri
20.  Mti  wa  Mvunge  hutumika  kuondosha  minyoo  wa  tumboni
21.  Mvunge  unapochemshwa  kitaalamu  kwa  pamoja  na  asali  mbichi  ya  nyuki wadogo, husaidia  sana  kuondoa  lehemu( Cholestrol ) isiyo  hitajika  mwilini.
22.  Mti  wa  Mvunge  husaidia  kuongeza  maziwa  kwa  mama  anaye nyonyesha
USITUMIE  MTI  WA  MVUNGE  AU SEHEMU  YOYOTE ILE YA  MTI WA  MVUNGE  KAMA  VILE   MIZIZI,  MAJANI, AU  TUNDA   BILA  KUPATA   USHAURI  NA  MAELEKEZO  KUTOKA   KWA  MTAALAMU.
Na  kwa  mahitaji  ya  bidhaa  mbalimbali  zitokanazo  na  mti   wa  Mvunge  kwa  ajili  ya  matumizi  mbalimbali  ya  kitabibu, fika  katika  duka  la  NEEMA  HERBALIST.
Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM, karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING, nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  Dar  Es  Salaam, tunawatumia bidhaa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  mbalimbali.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top