Kutokana
na kero zinazowakumbuka wananchi kuhusu suala la elimu, maji na afya
taasisi ya utafiti wa Maendeleo ya Elimu nchini Tanzania (TEDRO) imetoa
ripoti ya tafiti yake iliyofanya mikoa mbali hapa nchini juu ya Viongozi
wanaoaminiwa na wananchi kuwa wakikamata nchi wanaweza kumaliza
matatizo hayo.
Kutokana na ripoti hiyo ya Taasisi ya utafiti (TEDRO) inaonesha kuwa endapo uchaguzi ukifanyika leo chini Tanzania, Mh. Edward Lowassa, Mwigulu Nchemba na Dr. Slaa ndio wenye nafasi kubwa ya Kushinda nafasi hiyo.
Kura hizo ni kama ifuatavyo
1. Edward Lowassa 26%
2. Mwigulu Nchemba 23%
3. Dr. Wilbroad Slaa 22%
4. Ibrahim Lipumba 7%
5 Prof. Mark Mwandosya 6%
6. Mizengo Pinda 5%
7. John Magufuli 3.8%
8. Bernard Membe 3%
9. Fredrick Sumaye 2%
10. Steven Wassira 1.80%
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )